Anaishi

 


Mwana wa Mungu Jina ni Yesu
Alikufa, Tuokoke
Deni langu, Akalilipa
Amefufuka, mwokozi anaishi


Pambio
Anaishi, mimi sina shaka
Anaishi, siogopi
Mimi najua anayo kesho
Maisha bora, maana yeye anaishi.


Yapendeza kuwa na mwana
Ni furaha anakupa
Kwani ipo hipo dhamana
Kuona kesho, maana yeye anaishi


Siku moja, nitavuka mto
Vito vyangu vikomapo
Nikishinda hayo mauti
Nitaingia utukufuni, atawala

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *