Wewe u Mwaminifu

 


Wewe u Mwaminifu Baba Yangu, Hakuna kizuizi chochote
Hugeuki na hukosi huruma, tabia yako hata milele


Ref
We u mwaminifu We u mwaminifu kila siku naona rehema
Chochote nitakacho unanipa We u Mwaminifu kwangu Bwana.


Wakati wa kiangazi na mvua Jua, Mwezi, Nyota vyatangaza
Pamoja na uumbaji tutangaze fadhili zako nao upendo


Samaha La dhambi pia amani, Uwepo wako wafurahisha;
Nguvu za leo tumaini zuri la kesho, mibaraka zote nimepata.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *