Neema ya pekee

 


Katika neema Nimeokolewa, Nilikuwa mimi Mnyonge
Nilikuwa kipofu bali neema ya Yesu, ilinifungua macho yangu


Nilikuwa mwenye hofu nilifungwa dhambini, nimefunguliwa sasa
Nitamsifu Bwana maishani mwote, kwani nina ushirika naye


Bwana ameniahidi mema, neno lake tumaini laokoa
Yeye atakuwa ngao yangu, siku zote maishani mwangu

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *