Mwamba Wenye Imara

 


Mwamba wenye imara, kwako nitajificha
Maji hayo na damu, yaliyotoka humu
Hunisafi na dhambi, hunifanya Mshindi.


Kwa kazi zote pia, sitimizi sheria
Nijapofanya bidii, nikilia na kudhii
Hayaishi makosa, ndiwe wa kuokoa


Sina cha mkononi, naja msalabani
Nili tupu nivike, ni mnyonge nishike
Nili mchafu naja, Nioshe nisijafa.


Nikungojapo chini, na kwenda kaburini
Nipaapo mbinguni, na kukuona enzini
Roho yangu na iwe, rahani mwako wewe.

or


Mwamba wenye imara,
Kwako nitajificha,
Maji hayo na damu,
Yaliyotoka humu,
Hunisafi na dhambi,
Hunifanya mshindi.


Kwa kazi zote pia,
Sitimizi sheria,
Nijapofanya bidii,
Nikilia na kudhii,
Hayaishi makosa,
Ndiwe wa kuokoa.


Sina cha mkononi,
Naja msalabani,
nili tupu, Nivike,
Ni mnyonge, nishike,
Nili mchafu naja,
Nioshe nisijafa.


Nikungojapo chini,
Na kwenda kaburini,
Nipaapo mbinguni,
Na kukwona enzini,
Roho yangu na iwe,
Rahani mwako wewe.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *