Hakuna Rafiki Kama Yesu

 


1. Hakuna rafiki kama Yesu, Hakuna, hakuna!
Tabibu mwingine wa rohoni, Hakuna, hakuna!


Ref
Yesu ajua shida zetu;
Daima ataongoza,
Hakuna rafiki kama Yesu,
Hakuna, hakuna.


2. Wakati ambapo hapo yeye, Hapana, hapana!
Wala giza kututenga naye, Hapana, hapana!


3. Aliyesahauliwa naye, Hakuna, hakuna!
Mkosaji asiyempenda, Hakuna, hakuna!


4. Kipawa kama Mwokozi wetu, Hakuna, hakuna!
Ambaye atanyimwa wokovu, Hakuna hakuna!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *