Nasikia Sauti Yako

 


1. Nasikia mwito, Ni sauti yako;
Nikasafiwe kwa damu Ya kwangikwa kwako.


Refrain
Nimesongea mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako.


2. Ni mnyonge kweli, umenipa nguvu;
Ulivyonisfi taka Ni utimilivu.


3. Yesu hunijuvya: Mapenzi imani,
Tumai, amani, rahi, hapa na mbinguni.


4. Napata wokovu, Wema na neema;
Kwako Bwana nina nguvu Na haki daima.

https://youtu.be/CaXmhRjh09U

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *