Siku Kuu

 


1. Ni siku kuu, siku ile, ya kumkiri Mwokozi!
Moyo umejaa tele, kunyamaza hauwezi.


Refrain
Siku kuu! siku kuu! ya kuoshwa dhambi zangu kuu!
Hukesha na kuomba tu, ananiongoza miguu
Siku kuu! siku kuu! Ya kuoshwa dhambi zangu kuu.


2. Tumekwisha kupatana, mimi mbwake, yeye mbwangu;
Na sasa nitamwandama, nakiri neno la Mungu.


3. Moyo tulia kwa Bwana, kiini cha raha yako;
Huna njia mbili tena; uwe naye, yote ndako.

https://youtu.be/dsxyrMnjwHo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *