Kuna muji kule mbingu

 


1.Kuna muji kule mbingu umejengwa naye
Mungu, Pale muto wa uzima ni karibu na
kiti cha Mungu


Choeur
Tutakusanyika ngambo Kuona Bwana
wetu Yesu Kristo Tutakusanyika na
waamini Kusifu Mwokozi milele.


2.Kule ngambo inchi nzuri, bila zambi na
huzuni, Nyimbo mpyia tutaimba, Nyimbo
kusifu Yesu Mwokozi.


3. Wenye lugha mbalimbali Wataabudu
Mukombozi Makabila ya dunia watasifu
mwokozi pamoja


4.Sasa sisi ni karibu kutazama muji ule,
Mungu atatupa raha na kutufurahisha
milele.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *