Fanyeni Kazi Zenu

 


1.Fanyeni kazi zenu, usiku si mbali;
Kesheni saa zenu vumilieni:
Kwa Yesu tumikeni na hiyo Injili.
Sana wahubirini watu wa mbali.


2.Fanyeni kazi zenu giza yasongea;
Na wengi wenzi wenu wamo gizani.
Msipoteze moja dakika ni hizi;
Mwana atarejea mwisho wa kazi.


3.Fanyeni kazi zenu, hivi jua lachwa;
Wote walio kwenu apenda Mungu:
Na sisi tumjuaye na tuwafundishe,
Ili Yesu ajaye tumfurahishe.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *